Zanzibar Youth Multipurpose Co-operative Ltd (ZYMC) ni chama cha
Ushirika kilicho sajiliwa kwa sheria No 4 ya mwaka 1986 sheria ya vyama
vya Ushirika zanzibar, ZYMC imepewa jukumu la kuvifanyia ukaguzi wa
mahesabu vyama vyote vya Ushirika Vya Zanzibar, ili kukamilisha kazi
hiyo ZYMC ime amuwa kutowa nafasi 50 za ajira ya muda kwa watanzania
wakaazi wa Zanzibar wenye sifa zi fuatazo;- walio maliza digree ya
kwanza katika masuala ya uhasibu, usimamizi wa fedha na uchumi katika
vyuo vinavyo tambuliwa na serekali ya mapinduzi ya zanzibar,
APPLICATION INSTRUCTIONS:
Maombi yote lazima yaambatanishwe na vifuli vya vyeti vya kumalizia masomo, Cv pamoja na picha za paspoti size mbili.
Maombi yote yatumwe moja kwa moja posta kwa anuwani ifuatayo;
Katibu Mtendaji,
ZYMC,
S.L.P 820, Zanzibar Tanzania
Maombi yote yatumwe moja kwa moja posta kwa anuwani ifuatayo;
Katibu Mtendaji,
ZYMC,
S.L.P 820, Zanzibar Tanzania
0 comments:
Post a Comment